17 Lakini akawapungia+ mkono wanyamaze na kuwaambia kirefu jinsi Yehova alivyomtoa gerezani, naye akasema: “Waambieni Yakobo+ na akina ndugu mambo haya.” Ndipo akatoka, akasafiri kwenda mahali pengine.
40 Baada ya kutoa ruhusa, Paulo, akiwa amesimama juu ya ngazi, akawapungia+ watu mkono wake. Kulipokuwa na kimya kikubwa, akawahutubia kwa lugha ya Kiebrania,+ akisema: