Mathayo 26:60 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 60 lakini hawakupata wowote, ijapokuwa mashahidi wengi wa uwongo walijitokeza.+ Baadaye wawili wakajitokeza Luka 23:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa kweli, wala Herode hakupata, kwa maana alimrudisha kwetu; na, tazama! hajafanya lolote linalostahili kifo.+ Yohana 19:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Naye Pilato akaenda nje tena na kuwaambia: “Oneni! Namleta nje kwenu kusudi mjue kwamba sioni kosa lolote ndani yake.”+
60 lakini hawakupata wowote, ijapokuwa mashahidi wengi wa uwongo walijitokeza.+ Baadaye wawili wakajitokeza
15 Kwa kweli, wala Herode hakupata, kwa maana alimrudisha kwetu; na, tazama! hajafanya lolote linalostahili kifo.+
4 Naye Pilato akaenda nje tena na kuwaambia: “Oneni! Namleta nje kwenu kusudi mjue kwamba sioni kosa lolote ndani yake.”+