Luka 23:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndipo Pilato akawaambia wakuu wa makuhani na ule umati: “Mimi sioni uhalifu wa mtu huyu.”+ Yohana 18:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Pilato akamwambia: “Kweli ni nini?” Na baada ya kusema hili, akatoka tena kwenda kwa Wayahudi na kuwaambia: “Mimi sioni kosa lolote ndani yake.+ 2 Wakorintho 5:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Yeye ambaye hakujua dhambi+ alimfanya kuwa dhambi+ kwa ajili yetu, ili sisi tuwe uadilifu wa Mungu+ kupitia yeye.
38 Pilato akamwambia: “Kweli ni nini?” Na baada ya kusema hili, akatoka tena kwenda kwa Wayahudi na kuwaambia: “Mimi sioni kosa lolote ndani yake.+
21 Yeye ambaye hakujua dhambi+ alimfanya kuwa dhambi+ kwa ajili yetu, ili sisi tuwe uadilifu wa Mungu+ kupitia yeye.