3 Kwa uthibitisho mwingi ulio hakika, alijionyesha kwa hawa pia akiwa hai alipokuwa ameteseka,+ nao wakamwona kwa siku 40 na kusema juu ya ufalme wa Mungu.+
6 Baadaye aliwatokea ndugu zaidi ya mia tano kwa wakati mmoja, ambao walio wengi kati yao wapo mpaka sasa,+ lakini wengine wamelala usingizi katika kifo.