Matendo 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Walipofika Yerusalemu walikaribishwa kwa fadhili+ na kutaniko na mitume na wanaume wazee, nao wakaeleza mambo mengi ambayo Mungu alikuwa ameyafanya kupitia kwao.+ Matendo 21:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Naye akawasalimu na kuanza kusimulia+ kirefu juu ya mambo ambayo Mungu alifanya katikati ya mataifa kupitia kwa huduma yake.+
4 Walipofika Yerusalemu walikaribishwa kwa fadhili+ na kutaniko na mitume na wanaume wazee, nao wakaeleza mambo mengi ambayo Mungu alikuwa ameyafanya kupitia kwao.+
19 Naye akawasalimu na kuanza kusimulia+ kirefu juu ya mambo ambayo Mungu alifanya katikati ya mataifa kupitia kwa huduma yake.+