12 Ndipo umati mzima ukanyamaza, nao wakaanza kuwasikiliza Barnaba na Paulo wakieleza ishara nyingi na mambo mengi ya ajabu ambayo Mungu alifanya kupitia kwao katikati ya mataifa.+
18 Kwa maana sitathubutu kusema jambo moja ikiwa hilo si kati ya mambo yale ambayo Kristo alifanya kupitia mimi+ ili mataifa yawe yenye utiifu,+ kwa njia ya neno+ na tendo langu,