Matendo 16:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Basi walipoendelea kusafiri kupitia katika majiji walikuwa wakiwapa wale waliokuwa huko maagizo yaliyokuwa yameamuliwa na mitume na wanaume wazee waliokuwa katika Yerusalemu ili wayashike.+
4 Basi walipoendelea kusafiri kupitia katika majiji walikuwa wakiwapa wale waliokuwa huko maagizo yaliyokuwa yameamuliwa na mitume na wanaume wazee waliokuwa katika Yerusalemu ili wayashike.+