Mathayo 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Naam, mtakokotwa na kupelekwa mbele ya magavana na wafalme+ kwa ajili yangu, ili kuwa ushahidi+ kwao na kwa mataifa. 2 Wakorintho 6:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 kwa mapigo, kwa vifungo vya gerezani,+ kwa machafuko, kwa kazi za jasho, kwa kukosa usingizi usiku, kwa nyakati za kuwa bila chakula,+
18 Naam, mtakokotwa na kupelekwa mbele ya magavana na wafalme+ kwa ajili yangu, ili kuwa ushahidi+ kwao na kwa mataifa.
5 kwa mapigo, kwa vifungo vya gerezani,+ kwa machafuko, kwa kazi za jasho, kwa kukosa usingizi usiku, kwa nyakati za kuwa bila chakula,+