Zaburi 145:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Yehova yuko karibu na wote wanaomwitia,+Wote wanaomwitia yeye katika ukweli.+ Yeremia 23:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “Je, mimi ni Mungu aliye karibu,” asema Yehova, “na si Mungu aliye mbali?”+ Waroma 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana sifa zake ambazo hazionekani,+ zinaonekana waziwazi tangu kuumbwa kwa ulimwengu na kuendelea,+ kwa sababu zinaeleweka kwa vitu vilivyofanywa,+ yaani, nguvu zake za milele+ na Uungu,+ hivi kwamba hawana sababu ya kujitetea.+
20 Kwa maana sifa zake ambazo hazionekani,+ zinaonekana waziwazi tangu kuumbwa kwa ulimwengu na kuendelea,+ kwa sababu zinaeleweka kwa vitu vilivyofanywa,+ yaani, nguvu zake za milele+ na Uungu,+ hivi kwamba hawana sababu ya kujitetea.+