26 Na mwanamume huyo akaanza kusema kwa ujasiri katika sinagogi. Prisila na Akila+ walipomsikia, wakamchukua na kumfafanulia kwa usahihi zaidi njia ya Mungu.
19 Makutaniko ya Asia yanawatumia ninyi salamu+ zao. Akila na Priska pamoja na kutaniko lililo katika nyumba yao+ wanawasalimu ninyi kwa ukunjufu wa moyo katika Bwana.