Mathayo 23:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “Nyoka, uzao wa nyoka-vipiri,+ mtaikimbiaje hukumu ya Gehena?*+ Marko 12:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Wao ndio wanaomeza nyumba+ za wajane na kutoa sala ndefu kwa kisingizio; hawa watapokea hukumu nzito zaidi.”+ 1 Timotheo 5:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Dhambi za watu wengine huwa wazi+ mbele ya watu wote, zikiongoza moja kwa moja kwenye hukumu, lakini kwa habari ya watu wengine pia dhambi zao huwa wazi baadaye.+
40 Wao ndio wanaomeza nyumba+ za wajane na kutoa sala ndefu kwa kisingizio; hawa watapokea hukumu nzito zaidi.”+
24 Dhambi za watu wengine huwa wazi+ mbele ya watu wote, zikiongoza moja kwa moja kwenye hukumu, lakini kwa habari ya watu wengine pia dhambi zao huwa wazi baadaye.+