Waroma 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 ili takwa la uadilifu la Sheria litimizwe+ ndani yetu sisi tunaotembea, si kupatana na mwili, bali kupatana na roho.+ Waroma 13:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Upendo+ haumfanyii uovu jirani ya mtu;+ kwa hiyo upendo ndio utimizo wa sheria.+
4 ili takwa la uadilifu la Sheria litimizwe+ ndani yetu sisi tunaotembea, si kupatana na mwili, bali kupatana na roho.+