8 Kwa maana nasema kwamba kwa kweli Kristo alikuwa mhudumu+ wa wale waliotahiriwa+ kwa ajili ya ukweli+ wa Mungu, ili kuthibitisha ahadi+ ambazo Yeye aliwapa mababu zao,
22 Lakini Andiko+ liliyafunga mambo yote pamoja katika kifungo cha dhambi,+ ili ahadi inayotokana na imani kumwelekea Yesu Kristo ipewe wale wanaoamini.+