Waroma 7:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana tulipokuwa tunapatana na mwili,+ tamaa zenye dhambi zilizotokezwa kupitia Sheria zilikuwa zikifanya kazi katika viungo vyetu ili tuzalie kifo matunda.+
5 Kwa maana tulipokuwa tunapatana na mwili,+ tamaa zenye dhambi zilizotokezwa kupitia Sheria zilikuwa zikifanya kazi katika viungo vyetu ili tuzalie kifo matunda.+