Waroma 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa kweli Sheria hutokeza ghadhabu,+ lakini mahali ambapo hapana sheria, hapana pia kosa lolote.+ Waroma 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi Sheria+ iliingia kando ya hali hiyo ili makosa yazidi.+ Lakini mahali ambapo dhambi ilizidi,+ fadhili zisizostahiliwa+ zilizidi hata zaidi.
20 Basi Sheria+ iliingia kando ya hali hiyo ili makosa yazidi.+ Lakini mahali ambapo dhambi ilizidi,+ fadhili zisizostahiliwa+ zilizidi hata zaidi.