Zaburi 51:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana mimi mwenyewe nayajua makosa yangu,+Na dhambi yangu iko mbele yangu daima.+ Luka 18:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini yule mkusanya-kodi akiwa amesimama umbali fulani hakutaka hata kuinua macho yake kuelekea mbinguni, bali alikuwa akipiga-piga kifua chake,+ akisema, ‘Ee Mungu, unirehemu mimi mtenda-dhambi.’+
13 Lakini yule mkusanya-kodi akiwa amesimama umbali fulani hakutaka hata kuinua macho yake kuelekea mbinguni, bali alikuwa akipiga-piga kifua chake,+ akisema, ‘Ee Mungu, unirehemu mimi mtenda-dhambi.’+