Zaburi 32:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwishowe niliungama dhambi yangu kwako, wala sikufunika kosa langu.+Nilisema: “Nitaungama makosa yangu kwa Yehova.”+Nawe mwenyewe ukanisamehe kosa la dhambi zangu.+ Sela.
5 Mwishowe niliungama dhambi yangu kwako, wala sikufunika kosa langu.+Nilisema: “Nitaungama makosa yangu kwa Yehova.”+Nawe mwenyewe ukanisamehe kosa la dhambi zangu.+ Sela.