Waroma 14:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yeye anayekula asimdharau yeye asiyekula,+ na yeye asiyekula asimhukumu yeye anayekula, kwa maana Mungu amemkaribisha huyo. 1 Wakorintho 8:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa kweli, kwa ujuzi wako, mtu ambaye ni dhaifu anaharibiwa, ndugu yako ambaye Kristo alikufa kwa ajili yake.+
3 Yeye anayekula asimdharau yeye asiyekula,+ na yeye asiyekula asimhukumu yeye anayekula, kwa maana Mungu amemkaribisha huyo.
11 Kwa kweli, kwa ujuzi wako, mtu ambaye ni dhaifu anaharibiwa, ndugu yako ambaye Kristo alikufa kwa ajili yake.+