15 Hapana, hatujisifu katika kazi za jasho za mtu mwingine nje ya mipaka yetu tuliyogawiwa,+ bali tunatumainia kwamba, kadiri imani yenu inavyoongezwa,+ ndivyo sisi tutakavyofanywa wakubwa katikati yenu kuhusiana na eneo letu.+ Ndipo tutakapozidi hata zaidi,