-
2 Wakorintho 10:15Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 Hapana, hatujisifu kuhusu kazi za mtu mwingine nje ya mipaka tuliyogawiwa, bali tunatumaini kwamba imani yenu inapozidi kuongezeka, mambo tuliyofanya yatazidi kuongezeka katika eneo letu. Ndipo tutazidi hata zaidi,
-
-
2 Wakorintho 10:15Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
15 La, hatujisifu katika kazi za jasho za mtu mwingine nje ya mipaka yetu tuliyogawiwa, bali twashika tumaini kwamba, kadiri imani yenu inavyoongezwa, sisi tupate kufanywa wakubwa miongoni mwenu kuhusiana na eneo letu. Ndipo tutakapozidi hata zaidi,
-