11 Ninyi pia mnaweza kushiriki kusaidia kwa dua yenu kwa ajili yetu,+ ili wengi watoe shukrani+ kwa ajili yetu kwa lile ambalo tumepewa kwa fadhili kutokana na sala za watu wengi.+
18 huku kwa kila namna ya sala+ na dua mkiendeleza sala kila wakati katika roho.+ Na kwa kusudi hilo endeleeni kukaa macho daima na kuomba dua kwa ajili ya watakatifu wote,
3 na wakati huo pia mkisali kwa ajili yetu,+ ili Mungu afungue mlango+ kwa ajili ya neno letu, ili tuseme siri takatifu+ juu ya Kristo, ambayo kwa ajili yake mimi niko katika vifungo vya gereza;+