Waroma 9:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana ningetaka mimi mwenyewe nitenganishwe na Kristo, niwe aliyelaaniwa kwa ajili ya ndugu zangu,+ jamaa zangu kulingana na mwili,+ Waroma 16:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Salimuni Herodioni aliye wa jamaa+ yangu. Salimuni wale wa nyumbani mwa Narkiso walio katika Bwana.+
3 Kwa maana ningetaka mimi mwenyewe nitenganishwe na Kristo, niwe aliyelaaniwa kwa ajili ya ndugu zangu,+ jamaa zangu kulingana na mwili,+
11 Salimuni Herodioni aliye wa jamaa+ yangu. Salimuni wale wa nyumbani mwa Narkiso walio katika Bwana.+