Matendo 19:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Mwishowe, karani wa jiji alipokuwa ameunyamazisha+ umati, akasema: “Watu wa Efeso, kwa kweli ni nani kati ya wanadamu ambaye hajui kwamba jiji la Efeso ndilo mtunza-hekalu wa Artemi mkuu na wa sanamu iliyoanguka kutoka mbinguni?
35 Mwishowe, karani wa jiji alipokuwa ameunyamazisha+ umati, akasema: “Watu wa Efeso, kwa kweli ni nani kati ya wanadamu ambaye hajui kwamba jiji la Efeso ndilo mtunza-hekalu wa Artemi mkuu na wa sanamu iliyoanguka kutoka mbinguni?