7 Kwa sababu hiyo neno la Mungu likaendelea kukua,+ na hesabu ya wanafunzi ikazidi kuongezeka sana katika Yerusalemu;+ na umati mkubwa wa makuhani+ ukaanza kuitii+ imani.
3 lakini katika nyakati zake mwenyewe zinazofaa alifanya neno lake liwe wazi katika kazi ya kuhubiri ambayo nilikabidhiwa,+ chini ya amri ya Mwokozi wetu,+ Mungu;