1 Wakorintho 10:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “Dhamiri,” nasema, si yako mwenyewe, bali ile ya yule mtu mwingine. Kwa maana kwa nini iwe kwamba uhuru wangu unahukumiwa na dhamiri ya mtu mwingine?+
29 “Dhamiri,” nasema, si yako mwenyewe, bali ile ya yule mtu mwingine. Kwa maana kwa nini iwe kwamba uhuru wangu unahukumiwa na dhamiri ya mtu mwingine?+