13 mpaka sisi sote tuufikie umoja katika imani na katika ujuzi sahihi wa Mwana wa Mungu, kufikia kuwa mtu aliyekomaa,+ kufikia kipimo cha kimo ambacho ni cha ujazo wa Kristo;+
6Kwa sababu hiyo, kwa kuwa sasa tumeliacha fundisho la msingi+ juu ya Kristo,+ na tusonge mbele kuelekea ukomavu,+ tusiweke msingi tena,+ yaani, kutubu matendo yaliyokufa,+ na imani kwa Mungu,+