10 mwingine bado hupewa utendaji wa matendo yenye nguvu,+ mwingine kutoa unabii,+ mwingine utambuzi+ wa maneno yaliyoongozwa na roho,+ mwingine lugha+ tofauti, na mwingine fasiri+ ya lugha.
5 Basi ningependa ninyi nyote mseme kwa lugha,+ lakini napendelea zaidi kwamba mtoe unabii.+ Kwa kweli, yeye anayetoa unabii ni mkubwa kuliko yeye anayesema kwa lugha,+ isipokuwa, kwa kweli, yeye atafsiri, ili kutaniko lijengwe.