1 Wakorintho 14:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Basi, ikiwa sielewi nguvu za sauti ya maneno, nitakuwa mgeni+ kwa yeye anayesema, na yeye anayesema atakuwa mgeni kwangu.
11 Basi, ikiwa sielewi nguvu za sauti ya maneno, nitakuwa mgeni+ kwa yeye anayesema, na yeye anayesema atakuwa mgeni kwangu.