Matendo 19:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Sasa mambo hayo yalipokuwa yametimizwa, Paulo akakusudia katika roho yake kwamba, baada ya kupitia Makedonia+ na Akaya, angefunga safari kwenda Yerusalemu,+ akisema: “Baada ya kufika huko lazima pia nione Roma.”+ 2 Wakorintho 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 nami niende Makedonia+ baada ya kukaa kidogo kwenu, na kurudi kutoka Makedonia kuja kwenu+ nanyi mnisindikize+ kwenda Yudea.
21 Sasa mambo hayo yalipokuwa yametimizwa, Paulo akakusudia katika roho yake kwamba, baada ya kupitia Makedonia+ na Akaya, angefunga safari kwenda Yerusalemu,+ akisema: “Baada ya kufika huko lazima pia nione Roma.”+
16 nami niende Makedonia+ baada ya kukaa kidogo kwenu, na kurudi kutoka Makedonia kuja kwenu+ nanyi mnisindikize+ kwenda Yudea.