15 Hata hivyo, wale waliokuwa wakimsindikiza Paulo wakamleta mpaka Athene na, baada ya kupokea amri kwamba Sila na Timotheo+ wamfuate upesi iwezekanavyo, wakaondoka.
24 wakati nitakapokuwa nimeenda Uhispania,+ natumaini, zaidi ya yote, nitakapokuwa safarini kwenda huko, niwaangalie ninyi kidogo nanyi mnisindikize+ kidogo kwenda huko baada ya mimi kutosheka kwa kiasi fulani na ushirika wenu.