-
1 Wakorintho 16:6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 na labda nitakaa kwa muda au hata nitakaa nanyi kipindi chote cha majira ya baridi, ili mnisindikize umbali fulani kule nitakapoenda.
-
-
1 Wakorintho 16:6Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
6 na labda nitakaa au hata nitapisha majira ya baridi kali nikiwa pamoja nanyi, ili mpate kuniongoza mahali ambapo huenda nikawa nikienda.
-