16Kwa hiyo akafika Derbe na pia Listra.+ Na, tazama! mwanafunzi fulani aliyeitwa Timotheo+ alikuwa huko, mwana wa mwanamke Myahudi aliye mwamini lakini wa baba Mgiriki,
2 nasi tukamtuma Timotheo,+ ndugu yetu na mhudumu wa Mungu katika habari njema+ juu ya Kristo, kusudi awaimarishe ninyi na kuwafariji kwa ajili ya imani yenu,