Matendo 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi, baada ya kusindikizwa na kutaniko,+ watu hao wakaenda zao wakipitia Foinike na pia Samaria, wakieleza kirefu kugeuka kwa watu wa mataifa,+ nao walikuwa wakitokeza shangwe kubwa kwa akina ndugu wote.+ 1 Wakorintho 16:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 na labda nitakaa au hata nitapisha majira ya baridi kali nikiwa pamoja nanyi, ili mnisindikize+ hatua fulani mahali ambapo huenda nitakuwa nikienda.
3 Basi, baada ya kusindikizwa na kutaniko,+ watu hao wakaenda zao wakipitia Foinike na pia Samaria, wakieleza kirefu kugeuka kwa watu wa mataifa,+ nao walikuwa wakitokeza shangwe kubwa kwa akina ndugu wote.+
6 na labda nitakaa au hata nitapisha majira ya baridi kali nikiwa pamoja nanyi, ili mnisindikize+ hatua fulani mahali ambapo huenda nitakuwa nikienda.