-
Matendo 15:3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 Basi, baada ya kusindikizwa umbali fulani na kutaniko, watu hao wakaenda wakapitia Foinike na Samaria, wakisimulia kirefu kuhusu kugeuka kwa watu wa mataifa, nao wakafanya akina ndugu washangilie sana.
-
-
Matendo 15:3Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
3 Basi, baada ya kusindikizwa na kutaniko, watu hawa waliendelea katika njia yao kupitia Foinike na pia Samaria, wakisimulia kirefu kugeuka kwa watu wa mataifa, nao walikuwa wakisababisha shangwe kubwa kwa akina ndugu wote.
-