19 Kwa maana baada ya kugeuka kwangu nilihisi kujuta;+ na baada ya kujulishwa nililipiga paja kofi.+ Niliona aibu, na pia nikafedheheka,+ kwa maana nilikuwa nimechukua shutuma ya ujana wangu.’”+
20 lakini kwa wale walio katika Damasko+ kwanza na pia kwa wale walio katika Yerusalemu,+ na juu ya nchi yote ya Yudea, na kwa mataifa+ nilienda nikiuleta ujumbe kwamba wao wanapaswa kutubu na kumgeukia Mungu kwa kufanya matendo yanayostahili toba.+