Kutoka 16:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Walipokipima kwa omeri, yule aliyekusanya kingi hakuwa na ziada na yule aliyekusanya kichache hakuwa na upungufu.+ Walikiokota kila mmoja kulingana na kiasi anachoweza kula.
18 Walipokipima kwa omeri, yule aliyekusanya kingi hakuwa na ziada na yule aliyekusanya kichache hakuwa na upungufu.+ Walikiokota kila mmoja kulingana na kiasi anachoweza kula.