15 Lakini Bwana akamwambia: “Ondoka uende, kwa sababu mtu huyu ni chombo kilichochaguliwa+ kwangu ili kupeleka jina langu kwa mataifa+ na vilevile kwa wafalme+ na wana wa Israeli.
8 kwa maana Yeye aliyempa Petro nguvu zinazohitajika kwa ajili ya utume kwa wale waliotahiriwa alinipa mimi pia nguvu+ kwa ajili ya wale walio wa mataifa;