21 Sasa mambo hayo yalipokuwa yametimizwa, Paulo akakusudia katika roho yake kwamba, baada ya kupitia Makedonia+ na Akaya, angefunga safari kwenda Yerusalemu,+ akisema: “Baada ya kufika huko lazima pia nione Roma.”+
24 wakati nitakapokuwa nimeenda Uhispania,+ natumaini, zaidi ya yote, nitakapokuwa safarini kwenda huko, niwaangalie ninyi kidogo nanyi mnisindikize+ kidogo kwenda huko baada ya mimi kutosheka kwa kiasi fulani na ushirika wenu.