Luka 1:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Malaika akamjibu akamwambia: “Roho takatifu+ itakuja juu yako, na nguvu za Aliye Juu Zaidi zitakufunika. Kwa sababu hiyo pia kile kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu,+ Mwana wa Mungu.+ Matendo 9:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 naye akaanza mara moja kumhubiri Yesu+ katika masinagogi, kwamba Huyu ndiye Mwana wa Mungu.
35 Malaika akamjibu akamwambia: “Roho takatifu+ itakuja juu yako, na nguvu za Aliye Juu Zaidi zitakufunika. Kwa sababu hiyo pia kile kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu,+ Mwana wa Mungu.+