36 Lakini mimi nina ushahidi ulio mkubwa zaidi kuliko ule wa Yohana, kwa maana kazi zilezile ambazo Baba yangu alinigawia kutimiza, kazi hizo zenyewe ambazo ninafanya,+ hutoa ushahidi juu yangu kwamba Baba alinituma.
38 Lakini ikiwa ninazitenda, hata ingawa hamniamini, iweni na imani katika kazi hizo,+ ili mjue na kuendelea kujua kwamba Baba yuko katika muungano pamoja na mimi, nami niko katika muungano pamoja na Baba.”+