6 kwa sababu tunajua kwamba utu wetu wa zamani ulitundikwa mtini pamoja naye,+ ili mwili wetu wenye dhambi ufanywe kuwa usiotenda,+ ili tusiendelee tena kuwa watumwa wa dhambi.+
14 Mimi nisijisifu kamwe, isipokuwa katika mti wa mateso+ wa Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kupitia yeye ulimwengu umetundikwa mtini+ kwangu na mimi kwa ulimwengu.