Luka 14:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yeyote yule asiyeuchukua mti wake wa mateso na kunifuata hawezi kuwa mwanafunzi wangu.+ 1 Wakorintho 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana niliamua kutojua kitu chochote katikati yenu isipokuwa Yesu Kristo,+ naye akiwa ametundikwa mtini.
2 Kwa maana niliamua kutojua kitu chochote katikati yenu isipokuwa Yesu Kristo,+ naye akiwa ametundikwa mtini.