34 Basi akauita umati pamoja na wanafunzi wake na kuwaambia: “Mtu yeyote akitaka kunifuata, na ajikane mwenyewe na kuuchukua mti wake wa mateso na kunifuata sikuzote.+
23 Ndipo akaendelea kuwaambia wote: “Mtu yeyote akitaka kunifuata, na ajikane+ mwenyewe na kuuchukua mti wake wa mateso siku baada ya siku na kunifuata sikuzote.+
14 Mimi nisijisifu kamwe, isipokuwa katika mti wa mateso+ wa Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kupitia yeye ulimwengu umetundikwa mtini+ kwangu na mimi kwa ulimwengu.