Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 16:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Ndipo Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Mtu yeyote akitaka kunifuata, na ajikane mwenyewe na kuuchukua mti wake wa mateso na kunifuata sikuzote.+

  • Marko 8:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Basi akauita umati pamoja na wanafunzi wake na kuwaambia: “Mtu yeyote akitaka kunifuata, na ajikane mwenyewe na kuuchukua mti wake wa mateso na kunifuata sikuzote.+

  • Luka 9:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Ndipo akaendelea kuwaambia wote: “Mtu yeyote akitaka kunifuata, na ajikane+ mwenyewe na kuuchukua mti wake wa mateso siku baada ya siku na kunifuata sikuzote.+

  • Wagalatia 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mimi nisijisifu kamwe, isipokuwa katika mti wa mateso+ wa Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kupitia yeye ulimwengu umetundikwa mtini+ kwangu na mimi kwa ulimwengu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki