Yohana 14:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Lakini msaidizi, roho takatifu, ambayo Baba atatuma katika jina langu, hiyo itawafundisha ninyi mambo yote na kuwakumbusha mambo yote niliyowaambia.+ Waroma 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 nalo tumaini halikatishi tamaa;+ kwa sababu upendo wa Mungu+ umemiminwa ndani ya mioyo+ yetu kupitia roho takatifu,+ ambayo tulipewa.
26 Lakini msaidizi, roho takatifu, ambayo Baba atatuma katika jina langu, hiyo itawafundisha ninyi mambo yote na kuwakumbusha mambo yote niliyowaambia.+
5 nalo tumaini halikatishi tamaa;+ kwa sababu upendo wa Mungu+ umemiminwa ndani ya mioyo+ yetu kupitia roho takatifu,+ ambayo tulipewa.