Waroma 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini sasa tumefunguliwa kutoka katika Sheria,+ kwa sababu tumekufa+ kwa kile ambacho kilikuwa kimetufunga, ili tuwe watumwa+ katika maana mpya kwa roho,+ wala si katika maana ya zamani kwa njia ya sheria zilizoandikwa.+ Wagalatia 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kristo alituweka huru+ tuwe na uhuru wa namna hiyo. Kwa hiyo simameni imara,+ na msijiache wenyewe kufungwa tena katika nira ya utumwa.+
6 Lakini sasa tumefunguliwa kutoka katika Sheria,+ kwa sababu tumekufa+ kwa kile ambacho kilikuwa kimetufunga, ili tuwe watumwa+ katika maana mpya kwa roho,+ wala si katika maana ya zamani kwa njia ya sheria zilizoandikwa.+
5 Kristo alituweka huru+ tuwe na uhuru wa namna hiyo. Kwa hiyo simameni imara,+ na msijiache wenyewe kufungwa tena katika nira ya utumwa.+