Yohana 8:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kwa hiyo Mwana akiwaweka ninyi huru, mtakuwa huru kwelikweli.+ Wagalatia 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Bila shaka, ninyi mliitiwa uhuru,+ akina ndugu; ila msiutumie uhuru huu kuuchochea mwili,+ bali kupitia upendo mtumikiane.+
13 Bila shaka, ninyi mliitiwa uhuru,+ akina ndugu; ila msiutumie uhuru huu kuuchochea mwili,+ bali kupitia upendo mtumikiane.+