Methali 24:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Usiseme: “Nitamtendea kama vile tu alivyonitendea.+ Nitamlipa kila mtu kulingana na tendo lake.”+ Yakobo 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mnatamani, na bado hamna kitu. Mnaendelea kuua+ na kutamani+ kwa wivu, na bado hamwezi kupata. Mnaendelea kupigana+ na kufanya vita. Hamna kitu kwa sababu hamwombi.
2 Mnatamani, na bado hamna kitu. Mnaendelea kuua+ na kutamani+ kwa wivu, na bado hamwezi kupata. Mnaendelea kupigana+ na kufanya vita. Hamna kitu kwa sababu hamwombi.