Waroma 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana dhambi haipaswi kuwa bwana juu yenu, kwa kuwa ninyi hamko chini ya sheria+ bali chini ya fadhili zisizostahiliwa.+ Waroma 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana sheria+ ya ile roho+ ambayo hutokeza uzima+ katika muungano na Kristo Yesu imewaweka ninyi huru+ kutoka katika sheria ya dhambi na kifo.+
14 Kwa maana dhambi haipaswi kuwa bwana juu yenu, kwa kuwa ninyi hamko chini ya sheria+ bali chini ya fadhili zisizostahiliwa.+
2 Kwa maana sheria+ ya ile roho+ ambayo hutokeza uzima+ katika muungano na Kristo Yesu imewaweka ninyi huru+ kutoka katika sheria ya dhambi na kifo.+