Waebrania 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Basi, kwa kuwa tuna kuhani mkuu sana ambaye amepita katika mbingu,+ Yesu Mwana wa Mungu,+ acheni tuendelee kumkiri yeye.+ Waebrania 9:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana Kristo hakuingia mahali patakatifu palipofanywa kwa mikono,+ ambapo ni mfano wa uhalisi,+ bali aliingia mbinguni kwenyewe,+ ili sasa aonekane mbele za uso wa Mungu kwa ajili yetu.+
14 Basi, kwa kuwa tuna kuhani mkuu sana ambaye amepita katika mbingu,+ Yesu Mwana wa Mungu,+ acheni tuendelee kumkiri yeye.+
24 Kwa maana Kristo hakuingia mahali patakatifu palipofanywa kwa mikono,+ ambapo ni mfano wa uhalisi,+ bali aliingia mbinguni kwenyewe,+ ili sasa aonekane mbele za uso wa Mungu kwa ajili yetu.+