1 Wakorintho 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo, nawasihi ninyi, iweni waigaji wangu.+ 2 Wathesalonike 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Si kwamba hatuna mamlaka,+ bali ili tujitoe kuwa kielelezo kwenu ili mtuige sisi.+